Methali 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana anayenipata hakika atapata uzima,+ naye hupata nia njema kutoka kwa Yehova.+ Methali 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ufahamu ni kisima cha uzima+ kwa hao walio nao; nayo nidhamu ya wapumbavu ni upumbavu.+ Methali 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vivyo hivyo, ijue hekima kwa ajili ya nafsi yako.+ Ikiwa umeipata, basi kuna wakati ujao, na tumaini lako mwenyewe halitakatiliwa mbali.+
14 Vivyo hivyo, ijue hekima kwa ajili ya nafsi yako.+ Ikiwa umeipata, basi kuna wakati ujao, na tumaini lako mwenyewe halitakatiliwa mbali.+