Methali 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kumwogopa Yehova ni kisima cha uzima,+ ili kuepuka mitego ya kifo.+ Methali 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa yule anayetenda kwa ufahamu njia ya uzima inaelekea juu,+ ili kuliepuka Kaburi* lililo chini.+ Yohana 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yule atakayekunywa maji ambayo nitampa hatapatwa na kiu hata kidogo,+ lakini maji ambayo nitampa yatakuwa chemchemi ya maji+ ndani yake, inayobubujika ili kutokeza uzima wa milele.”+
24 Kwa yule anayetenda kwa ufahamu njia ya uzima inaelekea juu,+ ili kuliepuka Kaburi* lililo chini.+
14 Yule atakayekunywa maji ambayo nitampa hatapatwa na kiu hata kidogo,+ lakini maji ambayo nitampa yatakuwa chemchemi ya maji+ ndani yake, inayobubujika ili kutokeza uzima wa milele.”+