Yohana 6:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yesu akawaambia: “Mimi ndio mkate wa uzima. Yule ambaye huja kwangu hataona njaa hata kidogo, naye anayeniamini hatapata kiu kamwe.+ Yohana 7:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yule ambaye ananiamini,+ kama vile Andiko lilivyosema, ‘Vijito vya maji yaliyo hai vitatiririka kutoka katika sehemu yake ya ndani kabisa.’ ”+
35 Yesu akawaambia: “Mimi ndio mkate wa uzima. Yule ambaye huja kwangu hataona njaa hata kidogo, naye anayeniamini hatapata kiu kamwe.+
38 Yule ambaye ananiamini,+ kama vile Andiko lilivyosema, ‘Vijito vya maji yaliyo hai vitatiririka kutoka katika sehemu yake ya ndani kabisa.’ ”+