Methali 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kumwogopa Yehova huelekeza kwenye uzima,+ na mtu atalala usiku akiwa ameridhika;+ mtu hatapatwa na lililo baya.+ Isaya 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kutegemeka kwa nyakati zako kutakuwa mali ya wokovu+—hekima na ujuzi,+ kumwogopa Yehova,+ ambazo ni hazina yake.
23 Kumwogopa Yehova huelekeza kwenye uzima,+ na mtu atalala usiku akiwa ameridhika;+ mtu hatapatwa na lililo baya.+
6 Na kutegemeka kwa nyakati zako kutakuwa mali ya wokovu+—hekima na ujuzi,+ kumwogopa Yehova,+ ambazo ni hazina yake.