Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Zaburi 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni nguvu kwa watu wake,+Naye ni ngome ya wokovu mkuu wa mtiwa-mafuta wake.+ Zaburi 140:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ nguvu za wokovu wangu,+Umekinga kichwa changu katika siku ya jeshi lenye silaha.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+
7 Ee Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ nguvu za wokovu wangu,+Umekinga kichwa changu katika siku ya jeshi lenye silaha.+