Zaburi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa najua kwamba hakika Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu+ Kwa matendo ya kuokoa yenye nguvu ya mkono wake wa kuume.+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.
6 Sasa najua kwamba hakika Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu+ Kwa matendo ya kuokoa yenye nguvu ya mkono wake wa kuume.+
7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.