Zaburi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+
6 Sasa ninajua kwamba Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+ Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifuKwa wokovu* mkubwa kupitia mkono wake wa kuume.+