Zaburi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+ Zaburi 105:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+ Luka 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?
2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+
7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?