1 Samweli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+ 2 Samweli 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+
3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+