Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • Kumbukumbu la Torati 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Una furaha, Ee Israeli!+

      Ni nani aliye kama wewe,+

      Kikundi cha watu kinachofurahia wokovu wa Yehova,+

      Aliye ngao ya msaada wako,+

      Na Yule aliye upanga wako wa adhama?+

      Kwa hiyo adui zako watatetemeka mbele yako,+

      Na wewe—utapakanyaga mahali pao pa juu.”+

  • Zaburi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Na bado wewe, Ee Yehova, ni ngao inayonizunguka,+

      Utukufu+ wangu na Mwenye kuinua kichwa changu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki