Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 16:1

Marejeo

  • +1Sa 15:35; Mhu 3:4
  • +1Sa 15:23, 26
  • +Kut 30:25; 1Fa 1:39; Zb 133:2
  • +Ru 4:17; 1Nya 2:12; Isa 11:1
  • +Mwa 49:10; 1Sa 13:14; Zb 78:70; 89:20; Mdo 13:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    3/1/2010, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/1 23

1 Samweli 16:2

Marejeo

  • +1Sa 22:17
  • +1Sa 9:12; 20:29; Mt 10:16

1 Samweli 16:3

Marejeo

  • +Amo 3:7
  • +Zb 89:20

1 Samweli 16:4

Marejeo

  • +Ru 4:11; 1Sa 20:6
  • +1Sa 21:1; Lu 8:37
  • +1Fa 2:13; 2Fa 9:22

1 Samweli 16:5

Marejeo

  • +Kut 19:10; Law 11:44; 20:7

1 Samweli 16:6

Marejeo

  • +1Sa 17:28; 1Nya 2:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    3/1/2010, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/1 23

1 Samweli 16:7

Marejeo

  • +1Sa 10:23
  • +Ayu 10:4; Isa 55:8
  • +2Ko 5:12; 10:7
  • +1Fa 8:39; 1Nya 28:9; 2Nya 16:9; Zb 7:9; Met 24:12; Yer 17:10; Mdo 1:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    3/1/2010, uku. 23

    11/15/2004, uku. 20

    3/15/2003, uku. 15

    6/15/1999, uku. 22

    11/1/1989, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/1 23; w04 11/15 20; w03 3/15 15; w99 6/15 22

1 Samweli 16:8

Marejeo

  • +1Sa 17:13; 1Nya 2:13

1 Samweli 16:9

Marejeo

  • +2Sa 13:3

1 Samweli 16:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 9

    9/15/2002, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 9; w02 9/15 31

1 Samweli 16:11

Marejeo

  • +1Sa 17:14
  • +2Sa 7:8; Zb 78:70

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2011, kur. 28-29

    10/1/2005, uku. 9

    9/15/2002, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/1 29; w05 10/1 9; w02 9/15 31

1 Samweli 16:12

Marejeo

  • +1Sa 17:42; Wim 5:10; Omb 4:7
  • +1Sa 13:14; 16:1; Zb 89:20; Mdo 13:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 5 2016, uku. 9

1 Samweli 16:13

Marejeo

  • +1Sa 16:1; 1Fa 1:39
  • +Hes 11:17; Amu 3:10; 1Sa 10:6; 2Sa 23:2
  • +1Sa 1:1, 19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 5 2016, uku. 9

1 Samweli 16:14

Marejeo

  • +1Sa 18:12; 28:15
  • +1Sa 18:10; 19:9; Ayu 34:11, 12; Ro 2:6; Ebr 3:12; Yak 1:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    3/15/2005, uku. 23

    1/1/1989, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 3/15 23

1 Samweli 16:16

Marejeo

  • +Met 22:29
  • +Mwa 4:21; Zb 33:2

1 Samweli 16:17

Marejeo

  • +1Sa 8:11

1 Samweli 16:18

Marejeo

  • +1Sa 16:23
  • +1Sa 14:52; 17:36
  • +1Sa 17:32, 46
  • +1Sa 26:19; Met 16:23
  • +1Sa 16:12
  • +1Sa 18:12

1 Samweli 16:19

Marejeo

  • +1Sa 17:15; Zb 78:70

1 Samweli 16:20

Marejeo

  • +Mt 9:17
  • +1Sa 10:27; 2Nya 17:5; Met 17:8; 18:16

1 Samweli 16:21

Marejeo

  • +Met 22:29
  • +Amu 9:54; 1Sa 14:13; 31:4

1 Samweli 16:23

Marejeo

  • +1Sa 16:14; 18:10; 2Fa 3:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 16:11Sa 15:35; Mhu 3:4
1 Sam. 16:11Sa 15:23, 26
1 Sam. 16:1Kut 30:25; 1Fa 1:39; Zb 133:2
1 Sam. 16:1Ru 4:17; 1Nya 2:12; Isa 11:1
1 Sam. 16:1Mwa 49:10; 1Sa 13:14; Zb 78:70; 89:20; Mdo 13:22
1 Sam. 16:21Sa 22:17
1 Sam. 16:21Sa 9:12; 20:29; Mt 10:16
1 Sam. 16:3Amo 3:7
1 Sam. 16:3Zb 89:20
1 Sam. 16:4Ru 4:11; 1Sa 20:6
1 Sam. 16:41Sa 21:1; Lu 8:37
1 Sam. 16:41Fa 2:13; 2Fa 9:22
1 Sam. 16:5Kut 19:10; Law 11:44; 20:7
1 Sam. 16:61Sa 17:28; 1Nya 2:13
1 Sam. 16:71Sa 10:23
1 Sam. 16:7Ayu 10:4; Isa 55:8
1 Sam. 16:72Ko 5:12; 10:7
1 Sam. 16:71Fa 8:39; 1Nya 28:9; 2Nya 16:9; Zb 7:9; Met 24:12; Yer 17:10; Mdo 1:24
1 Sam. 16:81Sa 17:13; 1Nya 2:13
1 Sam. 16:92Sa 13:3
1 Sam. 16:111Sa 17:14
1 Sam. 16:112Sa 7:8; Zb 78:70
1 Sam. 16:121Sa 17:42; Wim 5:10; Omb 4:7
1 Sam. 16:121Sa 13:14; 16:1; Zb 89:20; Mdo 13:22
1 Sam. 16:131Sa 16:1; 1Fa 1:39
1 Sam. 16:13Hes 11:17; Amu 3:10; 1Sa 10:6; 2Sa 23:2
1 Sam. 16:131Sa 1:1, 19
1 Sam. 16:141Sa 18:12; 28:15
1 Sam. 16:141Sa 18:10; 19:9; Ayu 34:11, 12; Ro 2:6; Ebr 3:12; Yak 1:13
1 Sam. 16:16Met 22:29
1 Sam. 16:16Mwa 4:21; Zb 33:2
1 Sam. 16:171Sa 8:11
1 Sam. 16:181Sa 16:23
1 Sam. 16:181Sa 14:52; 17:36
1 Sam. 16:181Sa 17:32, 46
1 Sam. 16:181Sa 26:19; Met 16:23
1 Sam. 16:181Sa 16:12
1 Sam. 16:181Sa 18:12
1 Sam. 16:191Sa 17:15; Zb 78:70
1 Sam. 16:20Mt 9:17
1 Sam. 16:201Sa 10:27; 2Nya 17:5; Met 17:8; 18:16
1 Sam. 16:21Met 22:29
1 Sam. 16:21Amu 9:54; 1Sa 14:13; 31:4
1 Sam. 16:231Sa 16:14; 18:10; 2Fa 3:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 16:1-23

1 Samweli

16 Mwishowe Yehova akamwambia Samweli: “Ni mpaka wakati gani utamwombolezea Sauli,+ huku mimi, kwa upande mwingine, nimemkataa asitawale akiwa mfalme juu ya Israeli?+ Jaza pembe yako mafuta,+ nawe uende. Nitakutuma kwa Yese+ Mbethlehemu, kwa maana nimejipatia mfalme kati ya wanawe.”+ 2 Lakini Samweli akasema: “Nawezaje kwenda? Mara Sauli atakaposikia habari hizo, ataniua hakika.”+ Na Yehova akaendelea kusema: “Chukua ng’ombe mchanga wa mifugo pamoja nawe, nawe useme, ‘Nimekuja kumtolea Yehova dhabihu.’+ 3 Na umwite Yese aje kwenye dhabihu; nami, kwa upande wangu, nitakujulisha unalopaswa kufanya,+ nawe unitilie mafuta+ yule nitakayekuonyesha.”

4 Na Samweli akafanya yale ambayo Yehova alisema. Alipokuja Bethlehemu,+ wanaume wazee wa jiji wakaanza kutetemeka+ walipokutana naye, nao wakasema: “Je, kuja kwako kunamaanisha amani?”+ 5 Naye akasema: “Kunamaanisha amani. Nimekuja kumtolea Yehova dhabihu. Jitakaseni,+ nanyi mje pamoja nami kwenye dhabihu.” Ndipo akamtakasa Yese na wanawe, kisha akawaita waje kwenye dhabihu. 6 Na ikawa kwamba walipokuwa wakiingia naye akamwona Eliabu,+ mara moja akasema: “Hakika mtiwa-mafuta wake yuko mbele za Yehova.” 7 Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu+ wa umbo lake, kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona,+ kwa maana mwanadamu huona kile kinachoonekana kwa macho,+ lakini Yehova huona jinsi moyo+ ulivyo.” 8 Ndipo Yese akamwita Abinadabu,+ akampitisha mbele ya Samweli, lakini akasema: “Yehova hakumchagua huyu pia.” 9 Kisha Yese akampitisha Shamma,+ lakini akasema: “Yehova hakumchagua huyu pia.” 10 Basi Yese akawapitisha wanawe saba mbele ya Samweli; na bado Samweli akamwambia Yese: “Yehova hakuwachagua hawa.”

11 Mwishowe Samweli akamwambia Yese: “Je, hawa ndio wavulana wote?” Naye akasema: “Aliye mdogo zaidi ameachwa mpaka sasa,+ na tazama! analisha kondoo.”+ Kwa hiyo Samweli akamwambia Yese: “Tuma watu, wamlete, kwa sababu hatutaketi kula chakula mpaka atakapokuja hapa.” 12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+ 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+

14 Na roho ya Yehova ikaondoka+ juu ya Sauli, nayo roho mbaya+ kutoka kwa Yehova ikamtia hofu. 15 Na watumishi wa Sauli wakaanza kumwambia: “Tazama, roho mbaya ya Mungu inakutia hofu. 16 Tafadhali basi, bwana wetu na aamuru watumishi wako walio mbele yako kwamba watafute mtu mwenye ustadi,+ anayepiga kinubi.+ Na itatukia kwamba wakati roho mbaya ya Mungu inapokuja juu yako, yeye atakipiga kwa mkono wake, na mambo yatakuendea vema.” 17 Basi Sauli akawaambia watumishi wake: “Tafadhali, nipeni mtu anayejua kukipiga vema, kisha mkamlete kwangu.”+

18 Na mmoja wa watumishi akajibu na kusema: “Tazama! Nimeona jinsi mwana fulani wa Yese Mbethlehemu alivyo mwenye ustadi wa kukipiga,+ naye ni shujaa,+ mwanamume mwenye nguvu,+ na mwanamume wa vita na msemaji mwenye akili+ na mwanamume mwenye umbo zuri,+ na Yehova yupo pamoja naye.”+ 19 Kwa hiyo Sauli akatuma wajumbe kwa Yese na kusema: “Mtume kwangu Daudi mwana wako, aliye pamoja na kundi.”+ 20 Basi Yese akachukua punda, mkate na kiriba cha ngozi+ cha divai na mwana-mbuzi, na kuvituma kwa Sauli kwa mkono wa Daudi mwana wake.+ 21 Kwa hiyo Daudi akamjia Sauli na kumtumikia;+ naye akampenda sana, kisha akawa mchukua-silaha wake.+ 22 Basi Sauli akatuma watu kwa Yese, akisema: “Tafadhali, acha Daudi aendelee kunitumikia, kwa kuwa amepata kibali machoni pangu.” 23 Na ikatukia kwamba wakati roho ya Mungu ilipokuja juu ya Sauli, Daudi alichukua kinubi na kukipiga kwa mkono wake; ndipo Sauli akapata faraja na mambo yakamwendea vema, na ile roho mbaya ikaondoka juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki