54 Kwa hiyo, akamwita haraka mtumishi aliyechukua silaha zake na kumwambia: “Chomoa upanga wako, uniue,+ wasije wakasema juu yangu, ‘Mwanamke ndiye aliyemuua.’” Mara moja mtumishi wake akamchoma, naye akafa.+
13 Naye Yonathani akaendelea kupanda kwa mikono+ yake na miguu yake, na mchukua-silaha wake akimfuata; nao wakaanza kuanguka mbele ya Yonathani,+ na mchukua-silaha wake akawa akiwaua nyuma yake.+
4 Ndipo Sauli akamwambia mchukua-silaha wake: “Chomoa upanga wako,+ unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa+ wasije na kunichoma na kunitendea vibaya.” Naye mchukua-silaha wake hakutaka,+ kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akachukua upanga, akauangukia.+