Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo mfalme akawaambia wakimbiaji+ waliokuwa wamesimama kumzunguka: “Geukeni, mkawaue makuhani wa Yehova, kwa sababu mkono wao pia uko pamoja na Daudi na kwa sababu walijua kwamba yeye ni mkimbizi wala hawakunifunulia habari hiyo!”+ Lakini wale watumishi wa mfalme hawakutaka kunyoosha mkono wao ili kuwashambulia makuhani wa Yehova.+

  • 2 Samweli 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha Daudi akamwambia: “Kwa nini hukuogopa+ kunyoosha mkono wako umwangamize mtiwa-mafuta+ wa Yehova?”

  • Zaburi 105:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+

      Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki