Methali 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kiongozi anayepungukiwa na utambuzi wa kweli pia ana mazoea mengi ya upunjaji,+ lakini mtu anayechukia faida isiyo ya haki+ atarefusha siku zake. Mhubiri 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+
16 Kiongozi anayepungukiwa na utambuzi wa kweli pia ana mazoea mengi ya upunjaji,+ lakini mtu anayechukia faida isiyo ya haki+ atarefusha siku zake.
13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+