Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Bado kuna mtu mmoja ambaye tunaweza kumuuliza Yehova kupitia yeye;+ lakini hakika mimi ninamchukia,+ kwa maana yeye hatoi unabii wa mambo mema kunihusu mimi, ila mabaya+—Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme asiseme jambo kama hilo.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikawa kwamba aliposema naye, mara moja mfalme akamwambia: “Je, tulikuweka wewe kuwa mshauri wa mfalme?+ Acha kwa faida yako mwenyewe.+ Kwa nini wakupige na kukuua?” Kwa hiyo yule nabii akaacha, lakini akasema: “Hakika ninajua kwamba Mungu ameazimia kukuangamiza wewe,+ kwa sababu umetenda hivi+ wala hukulisikiliza shauri langu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki