2 Mambo ya Nyakati 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo. 2 Mambo ya Nyakati 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo mfalme wa Israeli akasema: “Mchukueni Mikaya, mmrudishe kwa Amoni mkuu wa jiji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.+
10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo.
25 Ndipo mfalme wa Israeli akasema: “Mchukueni Mikaya, mmrudishe kwa Amoni mkuu wa jiji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.+