Zaburi 37:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Acha hasira na uache ghadhabu;+Usijionyeshe umewaka hasira ili tu kufanya uovu.+ Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+ Methali 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,+ na mtu yeyote mwenye mwelekeo wa ghadhabu ana makosa mengi.+ Wagalatia 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,
5 Mwadilifu akinipiga, zingekuwa fadhili zenye upendo;+Naye akinikaripia, hiyo ingekuwa mafuta juu ya kichwa,+Ambayo kichwa changu hakingetaka kukataa.+Kwa maana bado kungekuwako sala yangu wakati wa misiba yao.+
20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,