1 Samweli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani. Methali 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Usishirikiane na mtu yeyote mwenye mazoea ya kukasirika;+ wala usiende pamoja na mtu wa mifoko ya ghadhabu, Yakobo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mahali ambapo pana wivu+ na ugomvi, hapo pana machafuko na kila jambo baya.+
18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.
24 Usishirikiane na mtu yeyote mwenye mazoea ya kukasirika;+ wala usiende pamoja na mtu wa mifoko ya ghadhabu,