1 Samweli 12:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami pia, kwa upande wangu, ni jambo lisilowaziwa, kwamba nimtendee Yehova dhambi kwa kuacha kusali kwa ajili yenu;+ nami nitawafundisha+ ninyi katika njia iliyo njema+ na iliyo sawa. Mathayo 5:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+
23 Nami pia, kwa upande wangu, ni jambo lisilowaziwa, kwamba nimtendee Yehova dhambi kwa kuacha kusali kwa ajili yenu;+ nami nitawafundisha+ ninyi katika njia iliyo njema+ na iliyo sawa.
44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+