Zaburi 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Njooni, enyi wana, nisikilizeni;+Nitawafundisha kumwogopa Yehova.+ Methali 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nitakufundisha katika njia ya hekima;+ nitakufanya utembee katika mapito ya unyoofu.+