Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi+ ambaye jina lake lilikuwa Ayubu;+ na mtu huyo alikuwa asiye na lawama+ na mnyoofu,+ na mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya.+

  • Zaburi 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Anaiburudisha nafsi yangu.+

      Ananiongoza katika mapito ya uadilifu kwa ajili ya jina lake.+

  • Isaya 26:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pito la mwadilifu ni unyoofu.+ Kwa kuwa wewe ni mnyoofu, utaifanya njia ya mwadilifu kuwa laini.+

  • Malaki 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sheria ya kweli ilikuwa katika kinywa chake,+ wala ukosefu wa uadilifu haukupatikana midomoni mwake. Kwa amani na kwa unyoofu alitembea nami,+ na wale aliogeuza kutoka katika kosa walikuwa wengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki