Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami ninajua vema, Ee Mungu wangu, kwamba wewe ni mchunguzaji wa moyo,+ nawe unafurahia unyoofu.+ Nami katika unyoofu wa moyo wangu, nimetoa kwa hiari vitu hivi vyote, na sasa watu wako waliopo hapa nimefurahi kuona wakikutolea matoleo kwa hiari.

  • Ayubu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi+ ambaye jina lake lilikuwa Ayubu;+ na mtu huyo alikuwa asiye na lawama+ na mnyoofu,+ na mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya.+

  • Zaburi 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

      Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele za macho yake.+

  • Methali 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwadilifu anatembea kwa utimilifu wake.+ Wanawe watakuwa na furaha baada yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki