Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Zaburi 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Anaonyesha kibali na kukopesha mchana kutwa,+Na kwa hiyo wazao wake watapata baraka.+ Matendo 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+