Kumbukumbu la Torati 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana unapaswa kumfungulia mkono kwa ukarimu+ nawe umkopeshe kwa rehani kwa kadiri anayohitaji, kile anachopungukiwa. Zaburi 112:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye neema+ na anayekopesha+ ni mwema. י [Yohdh]Yeye hutegemeza mambo yake kwa haki.+
8 Kwa maana unapaswa kumfungulia mkono kwa ukarimu+ nawe umkopeshe kwa rehani kwa kadiri anayohitaji, kile anachopungukiwa.