Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.

  • Zaburi 37:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Anaonyesha kibali na kukopesha mchana kutwa,+

      Na kwa hiyo wazao wake watapata baraka.+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+

  • Mathayo 5:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Mpe yeye anayekuomba, wala usimpe kisogo yule anayetaka umkopeshe bila faida.+

  • Luka 6:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Badala yake, endeleeni kuwapenda adui zenu na kutenda mema na kukopesha+ bila faida, bila kutumainia kurudishiwa chochote; na thawabu yenu itakuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Zaidi,+ kwa sababu yeye ni mwenye fadhili+ kuwaelekea wasio na shukrani na waovu.

  • Wagalatia 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ila sisi tuwakumbuke walio maskini.+ Jambo hili mimi pia nimejitahidi sana kulifanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki