Kumbukumbu la Torati 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana unapaswa kumfungulia mkono kwa ukarimu+ nawe umkopeshe kwa rehani kwa kadiri anayohitaji, kile anachopungukiwa. 1 Wakorintho 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi kuhusu mchango+ ulio kwa ajili ya watakatifu,+ kama vile nilivyoyapa maagizo makutaniko ya Galatia,+ ninyi wenyewe pia fanyeni vivyo hivyo.
8 Kwa maana unapaswa kumfungulia mkono kwa ukarimu+ nawe umkopeshe kwa rehani kwa kadiri anayohitaji, kile anachopungukiwa.
16 Basi kuhusu mchango+ ulio kwa ajili ya watakatifu,+ kama vile nilivyoyapa maagizo makutaniko ya Galatia,+ ninyi wenyewe pia fanyeni vivyo hivyo.