Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+

  • Methali 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+

  • Methali 28:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Anayempa kitu maskini hatakuwa na uhitaji,+ lakini yeye anayeficha macho yake atapata laana nyingi.+

  • Mathayo 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Wenye furaha ni wale walio na rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema.

  • Mathayo 10:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ naye anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mtu mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.+

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.

  • Yakobo 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana yeye asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atapata hukumu yake bila rehema.+ Rehema hufurahi kwa njia ya ushindi juu ya hukumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki