Kumbukumbu la Torati 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Unapaswa kumpa hata iweje,+ nao moyo wako usiwe mchoyo unapompa, maana kwa sababu hiyo Yehova Mungu wako atakubariki katika kila tendo lako na katika kila kazi unayofanya.+ Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+ Mhubiri 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tupa mkate+ wako juu ya uso wa maji,+ kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.+
10 Unapaswa kumpa hata iweje,+ nao moyo wako usiwe mchoyo unapompa, maana kwa sababu hiyo Yehova Mungu wako atakubariki katika kila tendo lako na katika kila kazi unayofanya.+
9 Amegawa kwa wingi; amewapa maskini.+ צ [Tsa·dhehʹ]Uadilifu wake unasimama milele.+ ק [Qohph]Pembe yake mwenyewe itainuliwa kwa utukufu.+