Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+ Methali 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, kwa maana amempa mtu wa hali ya chini chakula chake.+ Isaya 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Wenye furaha ni ninyi mnaopanda mbegu kando ya maji yote,+ mkiifungua miguu ya ng’ombe na ya punda.”+
11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+
20 “Wenye furaha ni ninyi mnaopanda mbegu kando ya maji yote,+ mkiifungua miguu ya ng’ombe na ya punda.”+