Methali 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+ Mathayo 5:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Mpe yeye anayekuomba, wala usimpe kisogo yule anayetaka umkopeshe bila faida.+ Luka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Uzeni+ mali yenu na mtoe zawadi za rehema.+ Jifanyieni wenyewe mikoba ambayo haichakai, hazina isiyopungua kamwe katika mbingu,+ ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali. Matendo 2:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 nao wakaanza kuuza miliki na mali zao+ na kuwagawia wote mapato hayo, kulingana na vile yeyote alivyokuwa na uhitaji.+
33 Uzeni+ mali yenu na mtoe zawadi za rehema.+ Jifanyieni wenyewe mikoba ambayo haichakai, hazina isiyopungua kamwe katika mbingu,+ ambapo mwizi hakaribii wala nondo hali.
45 nao wakaanza kuuza miliki na mali zao+ na kuwagawia wote mapato hayo, kulingana na vile yeyote alivyokuwa na uhitaji.+