21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+
22 Baada ya kusikia hilo, Yesu akamwambia: “Bado kuna jambo moja unalokosa: Uza vitu vyote ulivyo navyo uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha uje uwe mfuasi wangu.”+
34 Kwa kweli, hapakuwa hata mmoja mwenye uhitaji kati yao;+ kwa maana wale wote waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wakiviuza na kuleta thamani za vitu vilivyouzwa