Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+

  • Luka 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kusikia hilo, Yesu akamwambia: “Bado kuna jambo moja unalokosa: Uza vitu vyote ulivyo navyo uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha uje uwe mfuasi wangu.”+

  • Matendo 2:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 nao wakaanza kuuza miliki na mali zao+ na kuwagawia wote mapato hayo, kulingana na vile yeyote alivyokuwa na uhitaji.+

  • Matendo 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa kweli, hapakuwa hata mmoja mwenye uhitaji kati yao;+ kwa maana wale wote waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wakiviuza na kuleta thamani za vitu vilivyouzwa

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki