Mathayo 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+
21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+