Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi+ ambaye jina lake lilikuwa Ayubu;+ na mtu huyo alikuwa asiye na lawama+ na mnyoofu,+ na mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya.+

  • Zaburi 26:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Unihukumu,+ Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu,+

      Nami nimemtumaini Yehova, nisipate kutikisika.+

  • Methali 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Anayetembea katika unyoofu wake anamwogopa Yehova,+ lakini mtu mpotovu anamdharau Yeye katika njia zake.+

  • Mathayo 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa kweli nawaambia ninyi, Kati ya wale waliozaliwa na wanawake+ hajatokea mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; lakini mtu aliye mdogo zaidi katika ufalme+ wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.

  • Luka 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki