1Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi+ ambaye jina lake lilikuwa Ayubu;+ na mtu huyo alikuwa asiye na lawama+ na mnyoofu,+ na mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya.+
11 Kwa kweli nawaambia ninyi, Kati ya wale waliozaliwa na wanawake+ hajatokea mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; lakini mtu aliye mdogo zaidi katika ufalme+ wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.