2 Wafalme 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+ Methali 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwadilifu anatembea kwa utimilifu wake.+ Wanawe watakuwa na furaha baada yake.+
3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+