Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+

  • 1 Wafalme 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ili Yehova atimize neno lake alilosema kunihusu mimi,+ akisema, ‘Wana+ wako wakitunza njia yao kwa kutembea+ mbele zangu katika kweli+ kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi yao yote, hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.’+

  • 1 Wafalme 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo Sulemani akasema: “Wewe mwenyewe umemwonyesha fadhili kuu zenye upendo+ mtumishi wako Daudi baba yangu kulingana na alivyotembea mbele zako katika kweli na katika uadilifu+ na katika unyoofu wa moyo kwako; nawe ukaendelea kushika hizi fadhili kuu zenye upendo kwake, hivi kwamba ukampa mwana wa kuketi juu ya kiti chake cha ufalme kama ilivyo leo hii.+

  • Luka 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki