Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Abramu alipokuwa na umri wa miaka 99, Yehova akamtokea Abramu na kumwambia:+ “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Tembea mbele zangu nawe ujionyeshe kuwa huna kosa.+

  • Mambo ya Walawi 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Mkiendelea kutembea katika sheria zangu na kushika amri zangu na kuzifuata,+

  • 2 Wafalme 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.+

  • 2 Wafalme 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na mfalme akaendelea kusimama kando ya nguzo+ na kulifanya agano+ mbele za Yehova, ili kutembea+ kwa kumfuata Yehova na kushika amri+ zake na shuhuda+ zake na sheria+ zake kwa moyo+ wote na kwa nafsi+ yote kwa kuyatenda maneno ya agano hili yaliyoandikwa katika kitabu hiki.+ Basi watu wote wakachukua msimamo wao katika agano lile.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+

  • Luka 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki