Zaburi 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+ Zaburi 119:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Ulikumbuke neno lako kwa mtumishi wako,+Ambalo umenifanya nilingojee.+ Waebrania 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.