Ayubu 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana unaendelea kuandika juu yangu mambo machungu+Nawe unanifanya niyapate matokeo ya makosa ya ujana wangu.+ Yeremia 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+
26 Kwa maana unaendelea kuandika juu yangu mambo machungu+Nawe unanifanya niyapate matokeo ya makosa ya ujana wangu.+
25 Tunalala katika aibu+ yetu, na fedheha yetu inaendelea kutufunika;+ kwa maana tumemtendea dhambi+ Yehova Mungu wetu, sisi na baba zetu tangu ujana wetu na kuendelea mpaka leo hii,+ nasi hatukuitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”+