Zaburi 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+ Yeremia 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana baada ya kugeuka kwangu nilihisi kujuta;+ na baada ya kujulishwa nililipiga paja kofi.+ Niliona aibu, na pia nikafedheheka,+ kwa maana nilikuwa nimechukua shutuma ya ujana wangu.’”+
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+
19 Kwa maana baada ya kugeuka kwangu nilihisi kujuta;+ na baada ya kujulishwa nililipiga paja kofi.+ Niliona aibu, na pia nikafedheheka,+ kwa maana nilikuwa nimechukua shutuma ya ujana wangu.’”+