Mambo ya Walawi 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao. Ezra 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+
41 Hata hivyo, mimi nilitembea kwa kuwapinga,+ na nikalazimika kuwaleta katika nchi ya adui zao.+ “‘Labda wakati huo moyo wao ambao haujatahiriwa+ utanyenyekezwa,+ na wakati huo watalipia kosa lao.
6 Nami nikasema:+ “Ee Mungu wangu, naona aibu+ na haya+ kukuinulia uso wangu, Ee Mungu wangu, kwa maana makosa+ yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imeongezeka sana hata kufika mbinguni.+