Luka 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako,+ sistahili tena kuitwa mwana wako. Unifanye niwe kama mmoja wa watu wako waliokodiwa.’+ Ufunuo 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana dhambi zake zimekusanyika pamoja mpaka mbinguni,+ naye Mungu amekumbuka matendo yake yasiyo ya haki.+
21 Ndipo yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako,+ sistahili tena kuitwa mwana wako. Unifanye niwe kama mmoja wa watu wako waliokodiwa.’+
5 Kwa maana dhambi zake zimekusanyika pamoja mpaka mbinguni,+ naye Mungu amekumbuka matendo yake yasiyo ya haki.+