9 “Tungemponya Babiloni, lakini yeye hakuponyeka. Mwacheni,+ nasi twende kila mmoja kwenye nchi yake mwenyewe.+ Kwa maana hukumu yake imefika mpaka mbinguni, nayo imeinuliwa mpaka kwenye anga lenye mawingu.+
24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+