14 Na itatukia kwamba, kama swala aliyefukuzwa na kama kundi ambalo halina mtu wa kulikusanya pamoja,+ watageuka, kila mmoja kwenda kwa watu wake mwenyewe; nao watakimbia, kila mmoja kwenda katika nchi yake.+
16 Mkatilieni mbali mpandaji wa mbegu kutoka Babiloni,+ na yule anayechukua mundu wakati wa mavuno. Kwa sababu ya upanga unaoonea kila mmoja atawageukia watu wake mwenyewe, na kila mmoja ataikimbilia nchi yake mwenyewe.+