Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 “Babiloni hakuwa tu kisababishi cha kuanguka kwa waliouawa wa Israeli+ lakini pia kule Babiloni waliouawa wa dunia yote wameanguka.+

  • Yeremia 51:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Kwa maana atakuja juu yake, juu ya Babiloni, mporaji,+ na wanaume wake wenye nguvu hakika watakamatwa.+ Pinde zao zitavunjwa-vunjwa,+ kwa maana Yehova ni Mungu wa malipo.+ Bila shaka atalipa.+

  • Ufunuo 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na lile jiji kubwa+ likapasuka na kuwa sehemu tatu, na majiji ya mataifa yakaanguka; na Babiloni Mkubwa+ akakumbukwa machoni pa Mungu, ili kumpa kikombe cha divai cha hasira ya ghadhabu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki