2 Nanyi kwa upande wenu, hampaswi kufanya agano na wakaaji wa nchi hii.+ Bomoeni madhabahu zao.’+ Lakini hamkuisikiliza sauti yangu.+ Kwa nini mmefanya hivi?+
8 “Na zaidi ya hayo, wewe hukusikia,+ wala hukujua, wala tangu wakati ule na kuendelea sikio lako halikufunguliwa. Kwa maana najua vema kwamba bila shaka uliendelea kutenda kwa hila,+ nawe umeitwa ‘mkosaji tangu tumboni.’+