Yeremia 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Enyi kizazi, oneni wenyewe neno la Yehova.+ “Je, nimekuwa nyika tupu kwa Israeli+ au nchi yenye giza zito? Kwa nini hawa, watu wangu, wamesema, ‘Tumeenda huku na huku. Hatutakuja kwako tena’?+ Yeremia 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova amesema hivi: “Simameni tuli katika njia, na kuona, na kuuliza juu ya barabara za zamani za kale, mahali ambapo sasa pana njia nzuri;+ na mtembee ndani yake,+ na kustarehesha nafsi zenu.”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutatembea.”+
31 Enyi kizazi, oneni wenyewe neno la Yehova.+ “Je, nimekuwa nyika tupu kwa Israeli+ au nchi yenye giza zito? Kwa nini hawa, watu wangu, wamesema, ‘Tumeenda huku na huku. Hatutakuja kwako tena’?+
16 Yehova amesema hivi: “Simameni tuli katika njia, na kuona, na kuuliza juu ya barabara za zamani za kale, mahali ambapo sasa pana njia nzuri;+ na mtembee ndani yake,+ na kustarehesha nafsi zenu.”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutatembea.”+