Zaburi 78:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawakulishika agano la Mungu,+Nao wakakataa kutembea katika sheria yake.+ Isaya 42:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ni nani ambaye amemtoa Yakobo kwa ajili ya kunyakuliwa tu, na Israeli kwa waporaji? Je, si Yehova, Yeye ambaye tumemtendea dhambi, na ambaye hawakutaka kutembea katika njia zake na ambaye hawakuisikiliza sheria yake?+ Yeremia 44:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Kuhusu lile neno ambalo umetuambia katika jina la Yehova, sisi hatutakusikiliza;+
24 Ni nani ambaye amemtoa Yakobo kwa ajili ya kunyakuliwa tu, na Israeli kwa waporaji? Je, si Yehova, Yeye ambaye tumemtendea dhambi, na ambaye hawakutaka kutembea katika njia zake na ambaye hawakuisikiliza sheria yake?+