14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+
6 Nao walivunjwa vipande-vipande, taifa kupigana na taifa+ na jiji kupigana na jiji, kwa sababu Mungu aliendelea kuwatia katika machafuko kwa kila namna ya taabu.+