Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nao walivunjwa vipande-vipande, taifa kupigana na taifa+ na jiji kupigana na jiji, kwa sababu Mungu aliendelea kuwatia katika machafuko kwa kila namna ya taabu.+

  • Zaburi 106:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Naye akawatia mkononi mwa mataifa tena na tena,+

      Ili wale wanaowachukia wapate kutawala juu yao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki