23 Ndipo Mungu akaacha roho mbaya+ itokee kati ya Abimeleki na wale wenye mashamba wa Shekemu, na hao wenye mashamba wa Shekemu wakamtendea Abimeleki hila,+
15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote.