1 Samweli 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na roho ya Yehova ikaondoka+ juu ya Sauli, nayo roho mbaya+ kutoka kwa Yehova ikamtia hofu. 1 Wafalme 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mfalme hakuwasikiliza watu,+ kwa sababu Yehova ndiye aliyeongoza mambo,+ ili atimize neno+ lake ambalo Yehova alimwambia Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya+ Mshilo.
15 Na mfalme hakuwasikiliza watu,+ kwa sababu Yehova ndiye aliyeongoza mambo,+ ili atimize neno+ lake ambalo Yehova alimwambia Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya+ Mshilo.